Genesis 26:33

33 aNaye akakiita Shiba,
Shiba kwa Kiebrania maana yake ni Saba.
mpaka leo mji huo unaitwa Beer-Sheba.
Beer-Sheba maana yake ni Kisima cha wale saba, yaani wale kondoo saba ambao Abrahamu aliwatoa kama ushahidi kati yake na Abimeleki.


Copyright information for SwhNEN